
Diwani
wa kata ya Kahe ,Rodrick Mmanyi akizungumza baada ya Mkurugenzi wa
Idara ya Maafa nchini,Brigedia Jenerali ,Mbazi Msuya kutembelea kata
hiyo kutizama athari zilizotokana na mafuriko.

Baadhi
ya wakazi wa kata ya Kahe wakiwa katika kikao na ujumbe wa Mbunge wa
jimbo la Vunjo uliofika katika kata hiyo kwa ajili ya kutoa msaada wa
chakula.

Mwenyekiti
wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Michael Kilawila akizungumza na
kutoa pole kwa wakazi wa kata ya Kahe waliofikwa na maafa yaliyotokana
na mafuriko.

Mkurugenzi
wa Idara ya Maafa nchini,Brigedia Jenerali ,Mbazi Msuya akizungumza na
wakazi wa kata ya Kahe baada kutembelea maeneo mbalimbali yaliyoathirika
na mafuriko.

Mbunge
wa jimbo la Vunjo,James Mbatia akizungumza katika kikao hicho kilicho
fanyika ofisi ya kata ya Kahe ,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya
Maafa nchini ,Brigedia Jenerali,Mbazi Msuya,kushoto ni Mwenyekiti wa
Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Michael Kilawila.
No comments:
Post a Comment