Pages

Thursday, August 15, 2013

MKUTANO WA MPANGO WA "MATOKEO MAKUBWA SASA" KATIKA SEKTA YA ELIMU WAFANYIKA JIJINI DSM

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mhe Shukuru Kawambwa (aliyesimama) akitoa hotuba wakati akifungua mkutano wa wakaguzi wakuu wa Shule kanda na Wilaya hapa nchini.  Lengo la mkutano huo ni kuandaa uzinduzi wa mpango wa “Matokeo Makubwa Sasa” katika sekta ya Elimu. Kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo. Mkutano huo umefanyika jana Agosti 14,2013 kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.

Wakuu wa shule za sekondari na shule za msingi wakiwa kwenye mkutano huo wa kuandaa uzinduzi wa mpango wa “Matokeo Makubwa Sasa” katika sekta ya Elimu uliofanyika  Agosti 14, 2013 kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.

Wakuu wa shule za sekondari na shule za msingi wakiwa kwenye mkutano huo wa kuandaa uzinduzi wa mpango wa “Matokeo Makubwa Sasa” katika sekta ya Elimu uliofanyika  Agosti 14, 2013 kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Wakuu wa shule za sekondari na shule za msingi wakiwa kwenye mkutano huo jana wa kuandaa uzinduzi wa mpango wa “Matokeo Makubwa Sasa” katika sekta ya Elimu, wakipata vitabu vya mwongozo wa utoaji wa huduma za kielimu kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi.

No comments: