Pages

Thursday, August 15, 2013

BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO WA UTOAJI MIKOPO YA NYUMBA UITWAO 'JIJENGE'


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza wakati wa uzinduzi wa mikopo ya nyumba ijulikanayo kwa jina ya ‘JIJENGE’ itakakayoanza kutolewa na benki hiyo. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.

Meneja wa benki ya CRDB anayeshughulikia mikopo ya nyumba 'JIJENGE',' Silas Katemi akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mikopo hiyo.

Baadhi ya Maofisa wa benki ya CRDB wakiwa na wageni waalikwa katika hafla hiyo.

No comments: