Pages

Thursday, April 4, 2013

WATUHUMIWA WA JENGO LILILO POROMOKA WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Mmoja wa watuhumiwa ambaye ameshitakiwa kwa makosa 24 likiwemo la kuuwa bila kukusudia Raza Hussein Radha  akiwasili  katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam huku akiwa chini ya
ulinzi wa Jeshi la Polisi.


Picha ya juu watuhumiwa 10 kabla ya kupandishwa kizimbani.  Picha ya chini watuhumiwa  baada ya  kupandishwa  kizimbani  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam.

No comments: