Pages

Wednesday, April 3, 2013

BREAKING NEEWS....!! RISASI ZARINDIMA KAWE JIONI HII

Habari tulizopata hivi punde ni kuwa kumetokea vurugu kati ya wananchi na wanajeshi katika maeneo ya Kawe baada ya mwanajeshi kumuua dereva wa bajaj.

Inasemekana kuwa barabara ya Kawe imefungwa na polisi wapo wanaendelea kuweka hali katika utulivu.

Tutakuhabarisha baada ya kupata taarifa kamili.......... STAY TUNED!!

PICHA ZA TUKIO
Moshi wa mabomu ambayo yamerushwa na askari Polisi kuwasambaza wananchi  ambao walikuwa
 wanalalamikia kuuwawa kwa dereva wa bajaji katika maeneo ya Kawe. 

Baadhi ya wananchi wakiwa wamekusanyika katika maeneo ya Kawe.



Mawe yakiwa yametanda barabarani. Njia hiyo ya Kawe ilifungwa kwa muda na wananchi wenye hasira 

No comments: