![]() |
Rais mpya wa Kenya Uhuru Kenyatta akihutubia umati wa watu waliohudhuria sherehe hizo zilizofanyika katika viwanja vya Kasarani jijini Nairobi. |
![]() |
Rais Uhuru Kenyatta akisalimiana na Makamu wake, William Ruto. |
![]() |
Rais Uhuru Kenyatta akila kiapo cha kuwa Rais wa awamu ya nne wa nchi ya Kenya. |
![]() |
Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni akisoma Hotuba kwa niaba ya Marais wengine waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Kenya zilizofanyika katika viwanja vya Kasarani jijini Nairobi. |
![]() |
No comments:
Post a Comment