Mwanahamisi Salim, Meneja wa Kampeni, Ushawishi na Utekelezaji wa Haki za Kiuchumi kutoka
shirika la Oxfam akiendesha zoezi la ufunguzi wa Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake
unaofanyika katika ukumbi wa Chimwaga Mjini Dodoma.

Teresa Yates, Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Tanzania akikabidhi zawadi kwa
Mhe. Sophia Simba (MB), Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake, Jinsia na Watoto
na kwa Dr. Rose Nchimbi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. |
No comments:
Post a Comment