Pages

Friday, March 29, 2013

MAFURIKO YASABABISHA BARABARA YA MARANGU - MOSHI KUTOPITIKA KWA MUDA


Gari la mizigo likiwa katikati  ya maji huku dereva wa gari hilo na utingo wake wakiogopa kushuka
kutokana na  kasi  ya maji. Maji hayo yaliziba daraja hilo lililopo eneo la Uchira katika barabara kuu
ya kuingilia Moshi mjini.  Tukio hilo lilitokea usiku jambo ambalo ni hatari kwa maisha. 


Baadhi ya watu waliokwama wakiangalia na wengine kupiga picha za kumbukumbu. 



Baadhi ya magari yaliyokwama yakisubiri mafuriko yaishe.
Baadae waliendelea na safari baada ya maji hayo kupungua.


No comments: