Pages

Wednesday, September 11, 2013

KATIBU MKUU MPYA WA OFISI YA WAZIRI MKUU, BW. FLORENCE TURUKA AWASILI RASMI KAZINI

Aliyekuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Peniel Lyimo (kushoto) akimtambulisha rasmi Katibu Mkuu mpya wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Florence Turuka alipowasili rasmi Ofisini kwake jana tarehe 10 Septemba, 2013.

 
Katibu Mkuu mpya wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Florence Turuka (aliyesimama) akizungumza na Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (hawapo pichani) baada ya kuwasili rasmi katika Ofisi hiyo jana tarehe 10 Septemba, 2013.
 Baadhi ya Wakurugenzi katika Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu Bw. Florence Turuka (hayupo pichani) alipowasili rasmi kuanza kazi katika Ofisi tarehe 10 Septemba,2013 Asubuhi.

No comments: