Mbunge wa Tanzania ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) mhe. Abdullah Mwinyi (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari baada ya kutoka nje ya kikao kupinga shinikizo la hoja ya wabunge wenzao ya vikao vya Bunge kufanyika kwa mzunguko/zamu katika nchi zote zinazowakilishwa na Bunge hilo. Kikao hicho kiliahirishwa hadi leo.
Wa pili kulia ni mwandishi Zephania Ubwani.
No comments:
Post a Comment