Pages

Tuesday, August 6, 2013

NSSF YAENDELEA KUELIMISHA WANACHAMA WAKE FAIDA YA MFUKO HUO KATIKA MAONESHO YA NANENANE MOROGORO

Eunice Chiume (kulia mwenye tshirt kijani) ambaye ni Mkuu wa Idara ya Uhusiano NSSF Taifa, akisikiliza maelezo yanayotolewa na Afisa Mfawidhi Matekelezo NSSF Morogoro, Christopher Msagati (katikati) kwa mmoja wa wanachama wa mfuko huo katika viwanja vya mwalimu Julius Nyerere maarufu Nanenane uliopo nje kidogo ya mji wa Morogoro.

Adolfrida Mulokozi, Afisa Mwandamizi wa Mafao wa NSSF Morogoro akitoa elimu ya faida ya mfuko huo kwa wanachama wapya ndani ya viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere vilivyopo nje kidogo ya mji wa Morogoro.  Kushoto (mwenye tshirt ya kijani) ni Mkuu wa Idara ya Uhusiano NSSF Taifa, Eunice Chiume.

No comments: