Pages

Wednesday, April 3, 2013

PICHA ZA MAZISHI YA WILE HALE MWENDAMSEKE - R.I.P. KAKA/SHEMEJI WILE

Kutoka kushoto ni baba wa marehemu Wile, mzee Wilson Mwendamseke, dada zake marehemu
Wema na Wende Mwendamseke na mtoto wa marehemu, Wilson Wile Mwendamseke,
wakiwa kanisani.
Mchungaji akihubiri kanisani.
Ivan Mwaipaja akisoma wasifu wa marehemu Wile katika Kanisala KKKT Mbezi Beach.
Askofu Mstaafu, Elinaza Sendoro na mkewe wakiwa katika misa ya mazishi ya Wile. 
Kutoka kushoto ni mdogo wa marehemu, Peter Mwendamseke, marafiki wa marehemu Mdachi
na Harold, baba mdogo wa marehemu Aggrey Mwendamseke (mwenye shati ya mistari).

Mchungaji akihubiri katika misa ya mazishi ya Wile Hale Mwendamseke.
Dada zake marehemu, Wema na Wende Mwendamseke wakiwa na mpwa wao
Wilson Wile ambaye ni mtoto pekee wa marehemu.
Mwili wa marehemu ukiwasili katika makaburi ya Kinondoni tayari kwa mazishi.
Baba wa marehemu, mzee Wilson Mwendamseke (mwenye suti) akiwa na dada yake
Mrs. Esther Mwaipaja (mwenye gauni jeupe) wakiwa makaburini.
Mtoto wa marehemu, Wilson Wile akiwa amebeba msalaba.
Ndugu wa marehemu, kutoka kushoto ni Samuel Maselle, Forty Nyirenda
na shemeji wa marehemu.
Ndugu mbalimbali waliohudhuria mazishi katika makaburi ya Kinondoni.

Mama wa marehemu, Dr. Ada Nancy Mwendamseke (wa pili kushoto mwenye miwani)
akiweka mchanga kaburini. Wengine ni dada wa marehemu, Wema na mke wa
marehemu, Lilian.
Mke wa marehemu, Lilian na mwanae Wilson wakiweka mchanga Kaburini.
Baba na dada wa marehemu (wenye nguo nyeusi katikati) wakiweka mchanga kaburini.
Shangazi wa marehemu akiweka mchanga kaburini.
Dada zake marehemu, Wema na Wende wakiweka shada la maua kaburini.
Kaka wa marehemu, Ezekiel Chanimbaga akiweka shada la maua.
Shangazi wa marehemu, Mrs. Esther Mwaipaja akiweka shada la maua.
Msaidizi wa Askofu wa KKKT, George Fupe akiweka shada la maua.
Ndugu mbalimbali waliokuwepo makaburini baada ya mazishi.
Mdogo wa marehemu, Edward Lila (Kulia) akiwa na ndugu wengine mara baada
ya kumaliza mazishi.

No comments: