Pages

Wednesday, March 27, 2013

RAIS KIKWETE AZINDUA TAARIFA YA UTAFITI WA VIASHIRIA VYA UKIMWI NA MALARIA KWA MWAKA 2012



Mhe Dakta Mrisho Jakaya Kikwete akizindua rasmi taarifa ya utafiti kulia kwake ni Waziri mkuu  Mhe Mizengo Pinda na Mkuu  wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe Said Meck Sadiq kushoto Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti ukimwi-TACAIDS Bibi Fatuma Mrisho na  Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu sera uratibu na bunge Mhe Wiliam Lukuvi.  
Rais Kikwete akinyanyua juu taarifa mara baada ya uzinduzi kulia Waziri mkuu Mhe  Mizengo Pinda  kulia  Mkurugenzi wa (TACAIDS) Bibi  Fatuma Mrisho



 Mkurugenzi wa TACAIDS akihutubia huku meza kuu ikifuatilia kwa makini katika uzinduzi huo uliofanyika jijini leo

Rais kikwete akipitia taarifa mara baada ya kuizindua kulia kwake ni Waziri mkuu  Mhe Mizengo  Pinda  kushoto kwake  Waziri wa Afya na ustawi wa jamii  Mhe Dakta Hussein Mwinyi na Waziri wa fedha Mhe William Mgimwa.

Wadau mbalimbali ambao wakifuatilia mchakato mzima wa uzinduzi huo ambao umefanyika  katika ukumbi wa  Karimjee Hall jijini Dar es Salaa

No comments: