Pages

Friday, November 24, 2017

TAMASHA LA TIGO FIESTA KUFANYIKA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Huduma za Masoko Tigo, William Mpinga(katikati)
akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye
mkutano wa kutambulisha wasanii watakaopanda katika jukwaa la Tigo
Fiesta siku ya Jumamosi viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam jana
mchana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Tigo Fiesta, Sebastian Maganga
na wengine ni wasanii.
Msanii Vanessa Mdee akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kike.
Msanii Ben Pol akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kiume.

No comments: