Pages

Monday, May 2, 2016

HANDO NA PJ RASMI NDANI YA EFM RADIO LEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9WXkuigrrRhPYqu8SS_NrIvkeceeNq37YdWqo2pfTxPz8Z9k5M4f_i8E0ZaJjLUSg9yI8IAQm1q2wx7bMyy9iSJSeuG3WV4Zmkjx8416WAPtwwvlVfNwEuGF2pGW9D_7lormE-P5U_EA/s1600/66eb21a8-9978-4bed-a152-0c278ff68a83.jpg
Watangazaji mahiri Gerald Hando na Paul James (PJ) wameanza rasmi kutangaza 93.7 EFM redio siku ya leo ya tarehe 02/05/2016 katika kipindi cha Joto la asubuhi kilichoboreshwa wakiwa pamoja na Adela Tilya live nje ya jengo la K-net house zilipo ofisi za EFM. Kipindi hiki kinarushwa kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa saa 12:00 hadi saa 3:00 Asubuhi. Usipitwe. Kutoka kushoto ni Gerald Hando, Adella Tillya, pamoja na Paul James wakitangaza kipindi cha JOTO LA ASUBUHI live chini ya jendo la K-net house Kawe Beach Dar es salaam leo asubuhi.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPvvZSzXk-1VG2Xx6ka7ICB2PvxALMoGA6mUa9L_NVgNb5QxYNeZm4ya199GKmlmSkl1a1IpHqJx1VjdItAn-kA8SH3bEBmqNvpcFbKJY89MKm6Lx8DzA2_jVbHo0R3cBIOtQzakhER9c/s1600/01eaf6a4-5e05-406a-8b8a-512ca3f68929.jpg
 Rdj Spar akisababisha muziki 'live' katika kipindi hicho asubuhi ya leo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKT8Sar83HfXM6metQN7XOkT2oARuElQdotLBQfM2i8d3_la21phDD2fipS2OoYUYL7uzAClN_Lb4dSV7YnV5bMO0di7l5EBGS5Ir2_5oznYB341a1kMR-5DefzobEUmLPvhEUrTpABso/s1600/6b2c18c3-1f0e-4659-a7b2-a42b730a68e1.jpg
 Timu nzima ya Joto la Asubuhi katika picha ya pamoja na baadhi ya mashabiki wa Efm Redio walioshiriki katika kipindi hicho.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg07zBm9wUpbHI1GMm9pJUaS5ESKaXOLeiEPo3JnXWYzVDHWYUAcB_Q3b3r8OK-vasI3WUcEJ9pOmfagASORLoC4Zorq8FkHAnGH64d29fqUmfwpYE0Txq418EIgxOxjnUvxbZrdxeFWew/s1600/82d85fac-d551-41a7-9f34-2acfd62654fb.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgkzVhO8ANLSjeOuninj8YEVOqvnnKcq1XcuUHKBR6YMZ64QK5D9WZ3M0Rkat8urIdwm_T0XGNEwf1o9IgQrfD_F3zLtGiVqk99Tswl5ymyWjsonjwL95l9W45Ae2pBS0rGkFYw7Q4FEy0/s1600/be210546-4841-46a5-8101-69ec30e7cc34.jpg
Gerald Hando akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake mzazi  pamoja na dada yake walipofika katika ofisi za EFM  redio kumpongeza.

No comments: