
Daktari Mwandamizi Dharura na
Maafa kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Mary Kitambi akitoa
mada leo jijini Dar es salaam wakati wa semina ya waandishi wa habari
jinsi ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

Mmoja wa waandishi wa habari akiuliza swali jana jijini Dar es salaam wakati wa semina ya waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

Mtaalamu wa Ufuatiliaji na
udhibiti wa magonjwa kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.Vida
Mmbaga akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na
mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika Semina iliyoandaliwa na Wizara
hiyo kwa wanahabari.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya
Gain Marc Van Amengen (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa
habari(hawapo pichani ) jana jijini Dar es salaam juu ya kuweka madini
joto kwenye vyakula. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na
Ustawi wa Jamii Michael John.

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Michael John(kushoto) akijibu maswali ya wanahabari (hawapo
pichani ) leo jijini Dar es salaam juu ya kuweka madini joto kwenye
vyakula. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gain Marc Van
Amengen.

Mkurugenzi
Msaidizi huduma ya lishe kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.
Vincent Assey (kushoto) akifafanua kwa wanahabari juu ya umuhimu wa
madini jotoleo jijini Dar es salaam .Kulia ni Mkurugenzi wa Kinga kutoka
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibimayila.

Mmoja wa waandishi wa habari David John swali jana jijini Dar es salaam wakati wa semina ya waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Picha zote na Anitha Jonas -MAELEZO-Dar es salaam
No comments:
Post a Comment