![]() |
Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wa Habari (TEF), Deodatus Balile (kulia), akipokea mfano wa hundi wa shilingi milioni 14 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Saruji cha Tanga- Simba Cement, Renhardt Swart, kusaidia jukwaa hilo katika majukumu yake ya kila siku ikiwemo mkutano wao mkuu kesho Moshi Mkoani Kilimanjaro. |
TANGAZA NASI KATIKA BLOG HII. Kwa Mawasiliano: 0713/0767/0787-270376, shabanitolle73@gmail.com & ipmwaipaja@yahoo.com
Thursday, April 6, 2017
KIWANDA CHA SARUJI CHA TANGA, SIMBA CEMENT CHALISAIDIA JUKWAA LA WAHARIRI (TEF)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment