![]() |
Kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam leo, soko la Sinza limelazimika kufungwa kwa muda kutoka na kujaa maji eneo lote la soko hilo. |
![]() |
Barabara nyingi za Dar leo zimejaa maji, hali inayopelekea magari mengi kuzima, kama ionekanavyo pichani hapa. |
![]() |
Afande akitafakari jambo kufuatia uwingi wa maji katika barabara ya Bagamoyo eneo la Mbezi beach Goigi jijiji Dar es Salaam leo. |
![]() |
Wadau wakifanya mambo katika moja ya chemba iliyoziba kutokana na wingi wa uchafu uliokuwa umesombwa na maji hayo. |
![]() |
Magari yote yamelazimika kupita upande mmoja wa barabara kutokana na wingi wa maji upande mwingine. |

No comments:
Post a Comment