Pages

Sunday, September 8, 2013

RAIS KIKWETE AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUHUTUBIA WANANCHI WA MAGU

Rais Jakaya Kikwete akifungua rasmi jengo la zahanati ya kata ya Lugeye wilayani Magu, jana.
Rais Jakaya Kikwete akiweke jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Magu iliyopo eneo la Ilungu karibu na mji wa Magu. Jengo hilo linatarajiwa kugharimu shilingi bilioni 6 na milioni 700 hadi kukamilika.
Rais Jakaya Kikwete akiongea na wananchi wa wilaya ya Magu kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kiwanja cha Sabasaba mjini Magu, jana.

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akisalimiana na Kanali mstaafu wa Jeshi, Shadrack Faustine Mbilizi aliyehudhuria sherehe za ufunguzi wa jengo la zahanati ya Lugeye wilayani Magu.  Mbilizi alipokea kitambulisho chake cha matibabu kwa wazee siku hiyo.

No comments: